Latest News


More

MASHINDANO YA UIMBAJI (REFORMATION) KWAYA KUU NGAZI YA KANDA – JIMBO LA KASKAZINI YAFANA

Posted by : Unknown on : Saturday, October 12, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :



MASHINDANO YA UIMBAJI (REFORMATION) KWAYA KUU NGAZI YA KANDA – JIMBO LA KASKAZINI YAFANA
Mashindano ya uimbaji (Reformation) katika jimbo la Kaskazini la kanisa la K.K.K.T Dayoosisi ya Mashariki na Pwani yamefanyika leo katika Usharika wa Kunduchi na kituo kingine kikiwa Usharika wa Mwenge
Kwaya zote ziliimba nyimbo tatu ambazo mmoja ni wimbo wa halaiki NINATAKA KUMWIMBIA BWANA, wimbo wa utamaduni na wimbo chaguo la kwaya
Pichani juu ni kwaya ya Mbezi juu wakiwa jukwaani wakiimba
Pichani juu ni kwaya ya Usharika wakiimba jukwaani.Kwaya hii ndio walioibuka washindi wa kwanza katika kituo cha Kunduchi
Katika kituo cha Kunduchi zilikuwepo kwaya za sharika kumi kama ifuatavyo;
1.KWAYA YA USHARIKA WA SALASALA
NYIMBO: MATENGENEZO YA KANISA – ASILI KISAMBAA
                : HUKO MBINGUNI TUTAMWONA
                MWALIMU WA KWAYA MWALIMU E.H.CHAGGI (NDIYE MTUNZI WA NYIMBO MBILI)


2.KWAYA YA USHARIKA WA MBEZI JUU (picha chini na juu)
NYIMBO:HAWAKUONYESHA


3.KWAYA YA USHARIKA WA KAWE (pichani chini)
NYIMBO: SIKU ILE KUBWA – ASILI KIBENA
                MWENYEZI MUNGU
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU ALFA
 Waimbaji wa kawe wakiwa jukwaani wakiimba

4.KWAYA YA USHARIKA WA MANZESE
NYIMBO: SHANGILIENI  - ASILI KIMANDA
                NITAKIFANANISHA NA NINI KIZAZI HIKI
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU FRANK MSUYA
5.KWAYA YA USHARIKA WA KUNDUCHI
NYIMBO: NITAINUA MACHO YANGU ASILI NI KIYAO NA KIHEHE
                VIUMBE VYOTE
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU STANLEY KADUMA
6.KWAYA YA USHARIKA WA KIJITONYAMA
 Mwalimu Kisasa akiimbisha kwaya ya Usharika wa Kijitonyama
NYIMBO: ALFA NA OMEGA ASILI NI KIHAYA
                MFANYIE BWANA SHANGWE
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU JOACHIM KISASA

7.KWAYA YA USHARIKA WA KINONDONI(pichani chini)
 Waimbaji wa kwaya ya Kinondoni wakiimba juu na chini
NYIMBO: WOTE MUNGU AWAITA ASILI KIGOGO
                BWANA TUNAKUJIA
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU KENEDY LWIZA
8.KWAYA YA MTAA WA MAGWEPANDE (pichani chini)

NYIMBO: TUTASIMAMA ASILI NI KISAMBAA
                BABA YETU
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU VICENT KIKA
               
9.KWAYA YA USHARIKA WA UBUNGO (pichani chini)

 Mwalimu Msuya akiongoza kwaya ya Ubungo jukwaani
NYIMBO: MUNGU TANGU MWANZO – ASILI NI  KISAFA
                BWANA NI NGOME YETU
                MWALIMU WA KWAYA NI MWALIMU MSUYA
10.KWAYA YA USHARIKA WA MBEZI NDUMBWI

No comments:

Leave a Reply