Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MAZIWA YA MAMA - WANARIADHA WASIFIA MAZIWA YA MATITI

Posted by : Unknown on : Wednesday, June 4, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :

Akina mama wakiwanyonyesha Matiti watoto wao

Wanariadha wanaume wamekiri kuanza kunywa maziwa ya Matiti kama njia ya kusisimua misuli yao badala ya kutumia madawa yaliyoharamishwa ambayo yanaongeza nguvu mwili.

Kwa mujibu wa jarida la Mail kwenye mtandao , wanyanyua uzani wengi wameanza kutumia maziwa ya matiti kama njia ya kujipatia nguvu.

Mwanariadha mmoja kutoka mjini New York kwa jina Antony, aliambia jarida la NYMag.com kwamba hukutana na wanariadha kadhaa ambao hunywa maziwa hayo ambayo wanasema ni mazuri na yanawapa nguvu.
Maziwa haya hununuliwa kwenye maduka ya mitandaoni ikiwemo mtandao ujulikanao kama 'Only the Breast and Human Milk 4 Human Babies' kwa dola mbini na nusu.



Baadhi ya wanaume wanasema maziwa ya Matiti inawapa nguvu za ajabu

Mwanariadha huyo anasema kuwa maziwa hayo humpa nguvu za ajabu.
Sababu ya wao kufanya hivyo , ni kujizuia kutumia madawa ambayo yamepigwa marufuku kwani wanaamini kuwa maziwa ya Matiti ni njia ya kiasili ya kuwapa nguvu.
Mwanariadha mmoja ambaye ni baba wa watoto wanne Jason Nash, anasema alianza kunywa maziwa ya mkewe baada ya mtoto wao wa kwanza kuzaliwa na akahisi kuwa ikiwa maziwa hayo ni mazuri kwa mtoto basi pia ni mazuri kwa watu wazima.
Ananukuliwa akisema kuwa maziwa hayo yamemlinda kutokana na magonjwa miaka hii yote.
Wanaume kadhaa wamezungumzia kunywa maziwa ya Matiti kama njia ya kuwapa nguvu badala ya kutumia madawa ya kusisimua misuli.


Wanaume ambao sio wanariadha wanasema maziwa ya Matiti yanawapa afya nzuri

Akijibu wakosoaji wake, wanaosema kuwa ni kitu cha ajabu na kushangaza, Antony alisema,'' mimi siamini madawa ya kusisimua misuli na ninataka vitu vya asili, ambavyo havina athari zozote mbaya kwa mwili.''
Wanaume wengine ambao sio wanaridaha ingawa wanakunywa maziwa ya Matit, wanasema kuwa maziwa hayo huwafanya kujisikia kama walio na nguvu mno na wenye afya tele.
David,mwenye umri wa miaka 42, kutoka Brooklyn, aliambia jarida hilo kuwa alianza kunywa maziwa ya matiti miaka mitatu iliyopita. Alisema ilisabidia sana wakati alipokuwa anapokea matibabu ya Saratani kwa kuwa alikuwa anahisi kutapika wakati wote alipokuwa anapokea matibabu.
Pindi alipokunywa maziwa hayo hisia za kutapika wakati wote zilimtoka
Alisema maziwa hayo ambayo ni matamu , yalimsaidia sana.
(Source: Bbc Swahili)

No comments:

Leave a Reply