Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

UMEISIKIA HII? WATOTO WENYE WAZAZI WATATU KUZALIWA HIVI KARIBUNI

Posted by : Unknown on : Wednesday, June 4, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :
Inawezekana kuzalisha mtoto wazazi watatu


Wanasayansi nchini Uingereza wanasema kuwa inawezekana kwa wao kuwazalisha watoto kutoka kwa wazazi watatu katika kipindi cha miaka miwili ijayo.

Wanasayansi hao wanasema kuwa wanasubiri mabadiliko katika sheria na badiliko katika mtazamo ya watu kabla hawajapandikiza manii kwa mayai kutoka kwa wanawake wawili .

Madaktari hao wa uzazi wanasema kuwa wanaweza kuzalisha watoto wenye siha nzuri iwapo wataruhusiwa kisheria kuondoa magonjwa kutoka kwenye chembechembe za uzazi na kupandikiza mbegu za kiume kutoka kwa baba mzazi.

Hata hivyo mipango hiyo tayari imevutia tahadhari kutoka kwa halmashauri inayosimamia utabibu wa uzazi nchini Uingereza.


Inawezekana kuzalisha mtoto wazazi watatu

Huku ikibainika kuwa kunahaja ya mbegu za uzazi kusafishwa na zile zenye maradhi kuchujwa kitaalamu bila ya kupoteza uwezo wa mama kumzaa mtoto asiye na maradhi ya kurithi.

Takwimu nchini Uingereza zinaonesha kati ya watoto 6500 wanaozaliwa kuna mmoja aliyeambukizwa maradhi kutoka kwa wazazi wake kupitia celi zijulikanazo kama (mitochondria.) ambazo zinasababisha maradhi kama kukosa nguvu mwilini kupofuka maradhi ya moyo na hata wengine hufa.
Watafiti na madaktari wa maswala ya uzazi chini ya nembo ya Human Fertilisation and Embryology Authority (HFEA)waliohudhuria kongamano hilo walishuhudia hatua kwa hatua jinsi utaalamu huu unaweza kumsaidia mama ambaye anaseli za mwili zilizoambukizwa akisaidiwa kumzaa mtoto bila ya maradhi hayo kwa usaidizi wa mwanamke mwenye seli nadhifu na yenye afya.


Inawezekana kuzalisha mtoto wazazi watatu

Prof Andy Greenfield alisema hawana hakika iwapo utalamu huu ni salama kutumika kwa binadamu hadi pale mtoto atazaliwa baada ya kutimika kwa teknolojia hii mpya.

Serikali kwa upande wake imeipungia teknolojia hii kwani itaisaidia jamii kutoathirika na magonjwa ambayo hurithishwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto.
Daktari mkuu , Prof Dame Sally Davies, akisema ni jambo la dharura ambalo serikali inasubiri tu kuafiki utafiti huo na kisha kupitisha sheria zitakazoruhusu watoto wenye wazazi watatu.
(Source:Bbc Swahili)

No comments:

Leave a Reply