Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

UMOJA WA WANAUME WA USHARIKA WA MWENGE WA KANISA LA K.K.K.T WAPATA UONGOZI WAO

Posted by : Unknown on : Sunday, June 8, 2014 0 comments
Unknown
Leo katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Usharika wa Mwenge Umoja wa wanaume ambao leo umehudumu kwa mara ya kwanza katika Usharika huo umepata uongozi wao .
Umoja huo umeasisiwa takriban mwezi mmoja sasa na leo katika ibada zote mbili ibada imeongozwa na wanaume peke yao.Mara baada ya ibada hiyo wanaume hao walikutana na kuchagua viongozi watakaoongoza umoja wao hou.Kabla ya leo Umoja huo ulikua unaongozwa na kamati ya muda ambayo iliongozwa na mwenyekiti wa kamati ya mahusiano ya usharika huo mzee Tumaini Kichila na katibu wa muda bwana Allen Mushi
Pichani juu viongozi wa Umoja huo wakiwa katika picha ya pamoja pamoja na mwenyekiti wa kamati ya muda mzee Tumaini Kichila
Kutoka kushoto ni bwana Johanes Makundi (mweka hazina msaidizi), bwana Nathaniel Minja (mweka hazina, Mzee Tumaini Kichila (mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Umoja huo na mwenyekiti wa kamati ya mahusiano), bwana Allen Moshi (katibu msaidizi), Bwana Denis Ndyetabula (katibu), bwana Leonard Mushi (makamu mwenyekiti), na bwana Jonas Mbise (mwenyekiti)
Viongozi wa Umoja wa wanaume wa Usharika wa Mwenge wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kuchaguliwa jumapili ya leo
Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge mchungaji Kaanasia Msangi akizungumza na uongozi mpya wa umoja wa wanaume wa Usharika huo mara baada ya kufanya uchaguzi wao jumapili ya leo.Waliosimama ni viongozi waliochaguliwa kuongoza umoja huo

No comments:

Leave a Reply