Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

Mtu anawezaje kuwa mzazi bora?

Posted by : Unknown on : Thursday, March 26, 2015 0 comments
Unknown
Saved under :

Mtu anawezaje kuwa mzazi bora?

Je, unamfundisha mtoto wako kumpenda mungu?
Familia ambayo wazazi wanapendana na kuheshimiana ni msingi mzuri wa malezi bora kwa mtoto. (Wakolosai 3:14, 19) Wazazi bora huwapenda na kuwapongeza watoto wao, kama vile Yehova alivyompongeza Mwana wake.—Soma Mathayo 3:17.
Baba yetu wa mbinguni husikiliza na kukazia fikira hisia za watumishi wake. Ni jambo linalofaa kwa wazazi kumwiga kwa kuwasikiliza watoto wao wanapozungumza. (Yakobo 1:19) Wanahitaji kuelewa hisia za watoto wao, kutia ndani zile ambazo huenda hazifai.—Soma Hesabu 11:11, 15.

Unawezaje kuwalea watoto wawe wenye kutegemeka?

Ukiwa mzazi una mamlaka ya kuweka sheria. (Waefeso 6:1) Jifunze kutokana na mfano wa Mungu. Huwaonyesha upendo watoto wake kwa kueleza waziwazi sheria na kueleza matokeo ya kutozitii sheria hizo. (Mwanzo 3:3) Pia, badala ya kuwalazimisha watu kumtii, anawafundisha jinsi watakavyofaidika kwa kufanya mambo yaliyo sawa.—Soma Isaya 48:18, 19.
Fanya iwe lengo lako kuwasaidia watoto wako wampende Mungu. Kisha, watatenda kwa hekima hata watakapokuwa peke yao. Kama Mungu anavyofundisha kwa kuweka mfano, wafundishe watoto wako kumpenda Mungu kwa kuwawekea mfano.—Soma Kumbukumbu la Torati 6:5-7; Waefeso 4:32; 5:1.

No comments:

Leave a Reply