Jibu la Biblia
kufanya, si mapenzi yake, bali mapenzi ya aliyemtuma.’—Yohana 6:38.
Je, ninahitaji ishara, maono, au mwito wa pekee ili nijue Mungu aliniumba kwa kusudi gani?
uwe na vifaa kamili kwa ajili ya kila kazi njema.’ (2 Timotheo 3:16, 17) Mungu anataka utumie Biblia pamoja na ‘
nguvu zako za kufikiri’ ili ujifunze mapenzi yake.—Waroma 12:1, 2; Waefeso 5:17.
Je, kweli ninaweza kufanya mapenzi ya Mungu?
Amri za Mungu si ngumu sana kwetu.” (1 Yohana 5:3, Easy-to-Read Version) Hilo halimaanishi kwamba ni rahisi kufuata amri za Mungu kila siku. Lakini, faida unazopata ni nyingi sana zinapolinganishwa na jitihada zako. Yesu mwenyewe alisema hivi: “
Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”—Luka 11:28.
No comments: