Latest News


More

Teknolojia yakuza akili za watoto

Posted by : Unknown on : Tuesday, August 12, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :

Watoto wana uelewa mkubwa wa kiteknoljia kuliko watu wazima

Kulingana na utafiti uliofanywa na shirika la Ofcom, watoto wenye umri wa miaka 6 wana uelewa mzuri zaidi wa teknolojia kuliko watu wenye umri wa miaka 45. Ripoti hiyo inasema kuwa uelewa wa maswala ya kidijitali, huwa mzuri zaidi kwa watoto wenye miaka 15 na kuanza kushuka miaka michache baadaye.
Kwa taarifa hii na nyinginezo za teknolojia tazama hapa

No comments:

Leave a Reply