Kanisa hilo lilizinduliwa jumapili hii na mkuu wa kanisa la K.K.K.T na askofu wa DMP Dr.Alex Malasusa
Mandhari mbalimbali zinavyoonyesha kanis ala Usharika wa Sinza baada ya kumalizika
Mlango wa kuingilia ndani
Viongozi na wanakamati ya kamati ya maandalizi ya Uzinduzi wa Usharika wa Si9nza wakiwa nje ya kanisa lao siku ya uzinduzi
Upande wa nyuma wa kanisa hilo la Sinza
Mandhari nzuri inavyoonekana kwa nje
Mbele ya madhabahu kunavyoonekana
Waumini wakiwa kwenye ibada siku ya uzinduzi wa kanisa la Usharika wa sinza
Watoto wa shule ya jumapili wakiimba kwenye ibada hiyo
No comments: