Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

USHARIKA WA SINZA (K.K.K.T) WAJENGA KANISA LA MAMILIONI YA SHILINGI

Posted by : Unknown on : Wednesday, August 14, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
Usharika wa Sinza wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (DMP) wamejenga na kumaliza kanisa lao lililogharimu zaidi ya shilingi milioni 700.Kanisa hilo (pichani juu) lina uwezo wa kuchukua waumini zaidi ya 1000 kwa wakati mmoja.
Kanisa hilo lilizinduliwa jumapili hii na mkuu wa kanisa la K.K.K.T na askofu wa DMP Dr.Alex Malasusa

Mandhari mbalimbali zinavyoonyesha kanis ala Usharika wa Sinza baada ya kumalizika


Mlango wa kuingilia ndani





Viongozi na wanakamati ya kamati ya maandalizi ya Uzinduzi wa Usharika wa Si9nza wakiwa nje ya kanisa lao siku ya uzinduzi
Upande wa nyuma wa kanisa hilo la Sinza

Mandhari nzuri inavyoonekana kwa nje
Mbele ya madhabahu kunavyoonekana


Waumini wakiwa kwenye ibada siku ya uzinduzi wa kanisa la Usharika wa sinza
Watoto wa shule ya jumapili wakiimba kwenye ibada hiyo
Viongozi waandamizi wakiwa madhabahuni kwenye ibada hiyo

No comments:

Leave a Reply