Latest News


More

KIJITONYAMA NDIO WASHINDI WA KWANZA WA UIMBAJI KITUO CHA KUNDUCHI

Posted by : Unknown on : Saturday, October 12, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :

Kwaya ya Usharika wa Kijitonyama ( pichani juu) wameibuka washindi wa kwanza katika mashindano ya uimbaji kwa kwaya kuu (Reformation) katika kituo cha Kunduchi
Kwaya ya Usharika wa Kijitonyama (pichani juu) imeibuka mshindi wa kwanza baada ya kujinyakulia point 84.3

Washindi wengine ni kama ifuatavyo na alama walizopata 
Mshindi wa pili ni kwaya ya Usharika wa Manzese pichani juu  waliopata point 82.6
Mshindi wan tatu ni kwaya ya Usharika wa Kinondoni pichani juu waliopata point 82
 Mwalimu Lwiza wa kwaya ya Usharika wa Kinondoni akiongoza kwaya yake jukwaani

Mshindi wa nne ni kwaya ya Usharika wa Ubungo pichani juu waliopata point 81.0
 Mshindi wa tano ni kwaya ya Usharika wa Kunduchi pichani juu waliopata alama 79.6
 Mmojawapo wa majaji wa mashindano hayo (chief judge) ndugu Silayo akizungumzia uimbaji kwa ujumla kabla ya kutangazwa kwa matokeo ya uimbaji
Mmojawapo wa waratibu wa mashindano hayo Ndugu Gilbert  Mushi akizungumza kabla ya kutangazwa kwa matokeo hayo

Kwaya hizi tano ndizo zitawakilisha kituo hiki kwenye mashindano ya kumtafuta mshindi wa jimbo siku ya jumamosi katika Usharika wa Mbezi Beach wakishindana na washindi wa kituo cha Mwenge

No comments:

Leave a Reply