Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MKUTANO MKUBWA WA INJILI KUFANYIKA MTAA WA BUJU "A" JIJINI DAR

Posted by : Unknown on : Sunday, October 20, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


MKUTANO MKUBWA WA INJILI KUFANYIKA MTAA WA BUNJU “A”


Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Mtaa wa Bunju  “A”  Agnes Mangala akishirikiana na Baraza la Wazee; wanawakaribisha watu wote kwenye Mkutano Mkubwa wa Injili utakaofanyika kwatika viwanja vya Kanisa hilo nyuma ya shule ya Sekondari Bunju “A”

Mkutano huo utaanza siku ya jumapili ya Octoba 27 hadi Novemba 03, kila siku kuanzia saa kumi jioni hadi saa 12.00 jioni

Neno Kuu la Mkutano linatoka Hesabu 23”23…..HAKIKA HAKUNA UGANGA WALA UCHAWI JUU YA MAISHA YANGU

Wahubiri wa Mkutano huo ni;
Mwinjilisti  - Jackson J.Mndeme na
                       Norrah Christine Lema

WATAKAOPAMBA MKUTANO HUO NI KWAYA MBALIMBALI ZIKISHIRIKIANA NA KWAYA ZA K.K.K.T  Mtaa wa Bunju “A”

WALETENI WAGONJWA NA WENYE SHIDA MBALIMBALI NAO WATAOMBEWA

KUMBUKA: Ni mkutano Mkubwa wa injili utakaofanyika kila siku katika viwanja vya kanisa la K.K.K.T Mtaa wa Bunju “A” nyuma ya Shule ya Sekondari BUNJU “A”
Saved under :

No comments:

Leave a Reply