Latest News


More

MKUTANO MKUBWA WA INJILI KUFANYIKA MTAA WA BUJU "A" JIJINI DAR

Posted by : Unknown on : Sunday, October 20, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


MKUTANO MKUBWA WA INJILI KUFANYIKA MTAA WA BUNJU “A”


Mchungaji kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Mtaa wa Bunju  “A”  Agnes Mangala akishirikiana na Baraza la Wazee; wanawakaribisha watu wote kwenye Mkutano Mkubwa wa Injili utakaofanyika kwatika viwanja vya Kanisa hilo nyuma ya shule ya Sekondari Bunju “A”

Mkutano huo utaanza siku ya jumapili ya Octoba 27 hadi Novemba 03, kila siku kuanzia saa kumi jioni hadi saa 12.00 jioni

Neno Kuu la Mkutano linatoka Hesabu 23”23…..HAKIKA HAKUNA UGANGA WALA UCHAWI JUU YA MAISHA YANGU

Wahubiri wa Mkutano huo ni;
Mwinjilisti  - Jackson J.Mndeme na
                       Norrah Christine Lema

WATAKAOPAMBA MKUTANO HUO NI KWAYA MBALIMBALI ZIKISHIRIKIANA NA KWAYA ZA K.K.K.T  Mtaa wa Bunju “A”

WALETENI WAGONJWA NA WENYE SHIDA MBALIMBALI NAO WATAOMBEWA

KUMBUKA: Ni mkutano Mkubwa wa injili utakaofanyika kila siku katika viwanja vya kanisa la K.K.K.T Mtaa wa Bunju “A” nyuma ya Shule ya Sekondari BUNJU “A”
Saved under :

No comments:

Leave a Reply