Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

FAMILIA YA GODILISTEN LEMA NA FAMILIA YA NATHAI YAMTOLEA MUNGU SADAKA YA SHUKURANI

Posted by : Unknown on : Sunday, January 26, 2014 0 comments
Unknown

Leo katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Mwenge familia ya Godilisten Lema na familia ya Nathai wamemtolea Mungu sadaka ya shukurani pamoja na mwanafunzi wa Alpha Sekondari

Tukio hilo limefanyika katika ibada ya pili iliyoanza saa moja na nusu kanisani hapo
Katika shukrani hiyo familia hizo mbili zilimtolea Mungu sadaka ya shukurani kwa mambo makuu ambayo Mungu aliwatendea mwishoni mwa mwka jana
Pichani juu mstari wa mbele ni mwanafunzi wa Alpha ambaye alikua anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, bwana Godilisten Lema na mke wake pamoja na mpwa wake Godilistena Lema.Nyuma ni ndugu , jamaa na marafiki waliowasindikiza kutoa sadaka hiyo ya shukurani wakiwa madhabahuni

 Pichani juu ni ndugu jamaa na marafiki waliowasindikiza familia ya Lema na Nathai
Ibada hiyo iliongozwa na mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge mchungaji Kaanasia Msangi (pichani juu)akisaidiana na mchungaji Erasto Shaila wa makao makuu ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani






No comments:

Leave a Reply