Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MKENYA ANAYEENDESHA MAISHA KWA KUTEGEMEA UREFU WA KUCHA ZAKE

Posted by : Unknown on : Thursday, May 1, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :
Inaweza kuonekana kuwa ni kitu cha ajabu kwa binadamu wa kawaida kukaa bila kukata kucha kwa mwaka moja, lakini kumbe inawezekana kabisa mtu kufuga kucha kwa muda wa miaka 12.
Hilo limedhihirishwa na John Waweru, raia wa Kenya ambaye amefanikiwa kufuga kucha zake kwa muda wa miaka 12 na kufikia urefu wa futi moja na inchi 3.
Katika mahojiano yake na gazeti la Nairobi News, Waweru anaweka bayana kuwa kucha hizo ndizo zimekuwa chanzo kikuu cha kumwingizia kipato.
Anasema amefanikiwa kuzigeuza kucha hizo kuwa mojawapo ya kivutio cha utalii nchini Kenya kutokana na kuwafanya watalii kuzishangaa na hivyo kumpatia pesa kama malipo ya kivutio hicho.
Ili kuzidi kuwavutia watalii Waweru amezipaka kucha zake rangi zilizopo katika bendera ya Kenya hali inayomwongezea mvuto zaidi.
“Nimezipaka rangi ya bendera yetu kwa kuwa watalii wengi wanaokuja kupiga picha na mimi wanazipenda rangi hizo ili kuwafurahisha wateja wangu,” anasema Waweru akiongea na Kenya News
Anasema siku biashara ikiwa nzuri ana uhakika wa kurudi nyumbani na Sh5,000 (sawa na Sh94,000 za Kitanzania).
Waweru (33) anasema tangu mwaka 2002 alipoanza kufuga kucha hizo hajawahi kuzikata wala kuzipunguza kutokana na sababu yoyote ile.
“Baada ya kumaliza shule nilipata kazi lakini kucha zikawa zinakua kwa kasi kiasi cha kunifanya nishindwe kutimiza majukumu yangu nikaona bora niache kazi ili ziendelee kukua bila kikwazo chochote, nazilinda sitaki zikatike kwa namna yoyote.”
Anafafanua kuwa kikubwa anachokifanya ni kuilinda rasilimali hiyo akiamini kuwa ndiyo mtaji wake, hivyo siku zote hujaribu kujiweka mbali na ugomvi au hatari yoyote itakayosababisha kucha hizo kukatika.
“Tangu nimeanza kufuga kucha nimekuwa mtulivu mno. Najiweka mbali na ugomvi ili nisije kupoteza chanzo changu cha mapato. Nafahamu fika kuwa kupigana kunaweza kusababisha kucha zangu zikatike kitu ambacho sitaki kitokee,” anasema.
“Hata pombe nimeacha kunywa. Najaribu kufanya kila linalowezekana ili kucha zangu zisiingie kwenye hatari na huwa nazifunika kuziepusha na purukushani.”
(Source:Mwananchi comm)

No comments:

Leave a Reply