Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI
Posted on : Saturday, September 5, 2015 [0] comments Label:

SEMINA YA MWALIMU MWAKASEGE KUFANYIKA VIWANJA VYA CHUO KIKUU JIJINI DAR ES SALAAM

by : Unknown

Semina ya Neno la Mungu Mjini Dar es salaam.   Kuanzia tarehe 06 hadi 13 Septemba, 2015 tutakuwa na semina Dar es salaam uwanja wa Chuo Kikuu (UD) ,kila siku kuanzia saa 9 alasiri hadi 12 na mbili jioni.      Usikose kushiriki kusikiliza neno la Mungu na Mwl. [...]

by : Unknown

Kim Davies aliyekataa kusaini cheti cha ndoa Kentucky Jaji mmoja nchini Marekani, ameagiza afisa mmoja wa serikali katika jimbo la Kentucky, kufungwa jela, baada ya kukataa kutekeleza agizo la mahakama la kutoa cheti rasmi cha ndoa, kwa wapenzi wawili wa jinsia moja. Kim Davies amesema imani yake kama [...]

by : Unknown

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimshukuru mwalimu Lilian Ndegi jinsi Mungu anavyomtumia kuponya roho za watu kwa [...]

by : Unknown

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa mke wake Lilian Ndegi ambapo pamoja na mambo mengine kulikua na uzinduzi wa [...]

Posted on : Friday, August 21, 2015 [0] comments Label:

SEMINA YA MTUMISHI WA MUNGU SETH OSCAR - MBEZI MWISHO (MAKABE) KANISA LA EAGT

by : Unknown

"KUTOKA KWENYE VIFUNGO"........ISATA 42:22 Mtumishi wa Mungu Seth Oscar anaendesha mkutano wa  injili katika kanisa la EAGT Mbezi Makabe Mkutano huo umeanza jumatatu wiki hii na unaenda kuhitimishwa jumapili hii  Pichani juu mtumishi huyo akihubiri katika mkutano huo wa injili Pichani juu mtumishi wa Mungu akifungua watu kutoka [...]

Posted on : Monday, August 17, 2015 [0] comments Label:

ASKOFU SHOO NDIYE MKUU WA KANISA LA K.K.K.T

by : Unknown

Askofu Mkuu mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Frederick O. Shoo (kulia) akiwa na Askofu anayemaliza muda wake, Dk Alex Malasusa baada kuchaguliwa juzi usiku kwenye mkutano ulifanyika Arusha. Picha ya Mtandao  Dar es Salaam. Askofu Dk Fredrick Shoo amechaguliwa kuwa Mkuu wa Kanisa la [...]

Posted on : Tuesday, July 21, 2015 [0] comments Label:

UNAWEZAJE KUSHUGHULIKA NA WAKWE ZAKO?

by : Unknown

Kushughulika na Wakwe KIKWAZO “Mke wangu aliwaambia wazazi wake tulipokuwa tukikabili matatizo. Kisha baba yake akanipigia simu ili kunishauri jinsi ya kushughulikia hali hiyo. Sikufurahia jambo hilo!”—James. * “Mara nyingi mama mkwe husema, ‘Ninamkosa sana mwana wangu!’ Husema pia jinsi walivyokuwa karibu na mwana wake, jambo linalonifanya nihisi hatia [...]

by : Unknown

Jambo muhimu la kufahamu ni kwamba agano la kale lilipatiwa taifa la Israeli wala sio wakristo. Baadhi ya sheria hizo zilikuwa za kuwafanya waisraeli wajue jinsi ya kumtii na kumfurahisha Mungu (amri kumi za Mungu kwa mfano), baadhi yazo zilikuwa zikiwafunza jinsi ya kumuabudu Mungu (kwa ile njia [...]

by : Unknown

 Biblia inazungumzia juu ya vitu hivi tulivyonavyo ili tushinde maisha yetu ya dhambi:(1) Roho Mtakatifu – kipawa kimojachapo ambacho Mungu ametupa (kanisa lake) kwa ajili ya kuwa na ushindi katika maisha ya kikristo ndani ya Roho Mtakatifu. Mungu anatofautisha mtendo ya mwili na matunda ya Roho Mtakatifu katika [...]

Posted on : [0] comments Label: ,

JEWEWE UNATOA FUNGU LA KUMI?

by : Unknown

Kutoa fungu la kumi ni jambo ambalo wakristo wengi hung’ang’ana nalo. Katika makanisa mengine kutoa fungu la kumi imesisitizwa kupita kiasi. Wakristo wengi pia hukataa kutii agizo la kutoa sadaka kwa Bwana. Kutoa fungu la kumi au sadaka inahitajika kuwa ni kitendo cha furaha na baraka. Lakini sivyo [...]