Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

Ziara katika hospitali ya Consolata Ikonda

Posted by : Unknown on : Saturday, June 26, 2010 0 comments
Unknown
Saved under :















Mojawapo yaw astoo za daw za hospitali hiyo.Kilichotufurahisha zaidi ni kwamba daaw azote muhimu zipo hapo hospitalini.















































Mojawapo ya ward za hospitali hiyo.Kilichiotufurahisha ni usafi wa hali ya juu hapo hospitalini.Kila chumba kina vitanda vitatu na kila vyumba viwili kuna choo na bafu.Hakuna mgonjwa kulala chini au kulala wawili wawili.Na cha kufurahisha zaidi kila kitanda kuna gesi ukutani.Hivyo kama mgonjwa anaitaji kuwekewa gesi wanachomeka tu kifa ukutani.Hakun akuweka gesi kwenye mtungi,Mambo ya Ikonda hayo...




































Mojawapo ya maabara juu na chini



































































Mkuu wa Idara ya Maabara kwenye hospitali ya Ikonda akiwaonyesha wageni baadhi ya maabara na kazi zake






























Mkuu wa msafara (Mama Mrema) akikabidhi msaada kw afisa utawla.Hii ni misada iliyotolewa na wafanyakazi wa mamlaka ya mapato Idara ya Walipa Kodi wakubwa Dar es salaam



























Uongozi wa juu wa hospitali ya Ikonda.Kutoka kushoto mkuu wa utawala padri Sandra, Dr incharge Dr. Manuela na meneja wa fedha ambaye jina lake halikupatikana






























Pichani ni Afisa Utawala wa Hospitali hiyo Padri Sandra.Padri sandra alitupa historia ya watoto hao kwa ufupi.Alisema watoto hao walizaliwa wakiwa wameungana. Baada ya kuzaliwa wazazi wao waliwatelekeza hapo hospitalini.Hospitali ilichukua jukumu la kuwalea na kuwatunza kwa kila kitu.Kwa sasa hivi wako darasa la saba.Wanaitaji kutafutiwa shule ya sekondari.Kwa mujibu wa padri huyo hakuna ndugu mwingine aliejitokeza kwa ajili ya kuwatunza kama ndugu au jamaa wa karibu mpaka sasa.Inasemekana baba yake alikuwa ni Myakyusa na mama yake mtu wa Kagera.










Bada ya kutoka kwenye ofisi ya wilaya ugeni huo ulienda katikaHospitali ya Consolata Ikonda.Hospitali hii ndiyo waliipozaliwa Consolata na Maria.Kwenye picha unaweza kuona mandhari ya hospitali hiyo kwa nj

No comments:

Leave a Reply